hank you for visiting mixpoa.com we are here to inform you about gospel updates, music, mp3, events, words of God, and the Good News of Jesus. Download new gospel songs in our website for free every day and don’t forget to share with your friends.
Lyrics
Kuna wakati wa giza
Mbele sioni najiuliza
Mbona kama hizi shida
Zimekawia kuisha
Katikati ya maswali
Nasikia sauti ndani
Imebeba ujasiri
Ikinitaka nikiri nikisema
Mimi ni wa juu, mimi ni wa juu
Mimi ni wa juu, juu sana
Mimi ni wa juu, mimi ni wa juu
Mimi ni wa juu, juu sana
Sitafsiriwi kwa haya, machozi na magumu
Mimi ni mshindi tu, kamusi ndiye Mungu
Haijalishi ni giza, yeye ni nuru yangu
Nitashinda hii vita na yote yatakwisha
Ntasimama tena, ntainuka tena
Mimi ni wa juu tu, mimi ni wa juu tu
Ntasimama tena, ntainuka tena
Mimi ni wa juu tu, mimi ni wajuu tu
Mimi ni wa juu, mimi ni wajuu
Mimi ni wa juu, juu sana
Mimi ni wa juu, mimi ni wajuu
Mimi ni wa juu, juu sana
Nawaza yaliyo (juu)
Nawaza yaliyo (juu)
Nawaza yaliyo (juu)
Juu sana
Nawaza yaliyo (juu)
Nawaza yaliyo (juu)
Nawaza yaliyo (juu)
Juu sana
Mimi ni wa juu, mimi ni wajuu
Mimi ni wa juu, juu sana
Mimi ni wa juu, mimi ni wajuu
Mimi ni wa juu, juu sana
Sitafsiriwi kwa haya, machozi na magumu
Mimi ni mshindi tu, kamusi ndiye Mungu

Leave a Comment