AUDIO Lyrics Music

Nenda Kamwambie – Diamond Platnumz

Lyrics

Nenda Kamwambie – Diamond Platnumz

………..

Nenda kamwambiee.. aah

Jinsi nnavyompendami..aah

Nakama mapenzi bado..

Mwambie ntayaongezami..aah

Nasema kamwambiee..aah

Jinsi nnavyompendamiii..aah

Nakama mapenzi bado..aah

Mwambie ntayaongezami..

so ningemwoni nyota nanga ya mwezi..

Afeal amani yake yeye..

Natamani ila tatizo siwezi..

Huwenda angefanya nielewe..(akuna)

Sialinifunza mapenzi..

Nlikuwa sijuwi kamwaambiee..

Akanidekeza kishenzi,kwa nyimbo nzuri nimuimbie..

So asidanganywe na gari burudani na fedha mimi akanichukia..

Akalishusha thamani penzi ninalompenda kiss mvinyo na beer..

Asidanganywe na gari burudani na fedha mimi akaanichuukia..

Mmmh..mwambie asisikie mapenzi moyo wangu unaumiiaa..(eeyah)

Nenda kamwambiee..aah

Jinsi nnavyompendami..aah

Nakama mapenzi bado mwambie ntayaongezami..

Nasema kamwambiee..aah

Jinsi nnavyompendamii..aah

Nakama mapenzi bado..aah

Mwambie ntayaongezami..

………….

Nasema sikuizi wanakula fungate..

Mapenzi hayana thamani..

Ivo mwambie wanaompenda niwachache..

wengi wao wanatamaani..

Oooh..wanataka kwa tafadhali wakishapewa wanapoteea..

Nenda mwambie aje asali na duwa njema namuombea..

So asidanganywe na gari burudani na fedha mimi akanichukia..

Akalishusha thamani pendo nnalompenda kisa mvinyo na beer..

Asidanganywe nagari burudani nafedha mimi akanichukia..

Mmmh…mwambie asisikie mapenzi moyo wangu unaumiyaa.. (eeyah)

Kamwambie}×8

Nnenda kamwambiee….ᵏᵃᵐʷᵃᵐᵇⁱᵉᵉᵉ

Jinsi nnavyompendami..ⁿⁱⁿᵃᵛᵒᵐᵖᵉⁿᵈᵃ ˢᵃⁿᵃᵃᵃ

Nakama mapenzi bado..ᵐᵐᵐ ⁱʸᵉᵉ

Mwambie ntayaongezami..ⁿᵗᵃʸᵃᵒⁿᵍᵉᶻᵃ ᵐᵃᵐᵃᵃᵃ

Nasema kamwambie.. ᵏᵃᵐʷᵃᵐᵇⁱᵉᵉ ᵃᵃʰ

Jinsi ninavyompendami..ⁿᵃᵐᵖᵉⁿᵈᵃ ˢᵃⁿᵃᵃᵃ

Nakama mapenzi bado..ᵐᵐʰ ⁱʸᵉᵉᵉ

Mwambie ntayaongezami..ⁿᵗᵃʸᵃᵒⁿᵍᵉᶻᵃ ᵐᵃᵐᵃᵃ

….. aaaah..aayaaaaa…ooh ooh

..yeeh…aspinofow..but thenx bob junior… Mr chocolate flavor.. mr love dear…sharobaro records…. records.. records.. records… is diamond platnumz…halo back ladies…

Leave a Comment